Exclusive:"Siwezi kumshauri Zari, Diamond bosi wangu" Wema Sepetu

Exclusive:"Siwezi kumshauri Zari, Diamond bosi wangu" Wema Sepetu

Msanii wa filamu Wema Sepetu amefunguka kwa mara ya kwanza Jumapili hii kuzungumzia kuhusika kwake katika kulivunja penzi la Diamond na Zari. Muigizaji huyo amedai hawezi kumshauri chochote Zari kwa kuwa ni mtu mzima ambaye anajitambua na anaweza kufanya maamuzi yake mwenyewe.


User: Video Bora

Views: 1

Uploaded: 2018-03-05

Duration: 03:43