SIMBA VS YANGA: Nafasi 7 'za maana' ambazo Simba ilishindwa kuzitumia

SIMBA VS YANGA: Nafasi 7 'za maana' ambazo Simba ilishindwa kuzitumia

Pamoja na kwamba mtanange wa Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL) kati ya Simba Vs Yanga uliopigwa Septemba 30, 2018, ulimalizika kwa suluhu, vijana wa Msimbazi walipata nafasi 7 za kipekee ambazo huenda zingezaa bao ama mabao.


User: Elegant Videos

Views: 19

Uploaded: 2018-10-01

Duration: 05:22

Your Page Title