Wakaazi Malindi Wakusanyika Kuadhimisha Tamasha Ya Kila Mwaka

Wakaazi Malindi Wakusanyika Kuadhimisha Tamasha Ya Kila Mwaka

Wakaazi Wa Malindi Katika Kaunti Ya Kilifi Walikusanyika Kuadhimisha Tamasha Ya Kila Mwaka Ya Kumsherehekea Mekatilili Wa Menza. Na Kutokana Na Uwepo Wa Janga La Corona Idadi Ya Waliohudhuria Ilikuwa Chache Kwa Kuzingatia Kanuni Za Wizara Ya Afya Dhidi Ya Corona.


User: EbruTVKENYA

Views: 1

Uploaded: 2021-08-15

Duration: 03:53

Your Page Title