Watu Saba Watiwa Mbaroni Kwa Kutoa Chanjo Ya Covid-19 Bila Idhini

Watu Saba Watiwa Mbaroni Kwa Kutoa Chanjo Ya Covid-19 Bila Idhini

Watu Saba Wametiwa Mbaroni Kwa Kosa La Kutoa Chanjo Ya Covid-19 Bila Idhini. Katibu Katika Wizara Ya Afya Susan Mochache Ameyasema Haya Alipopokea Shehena Ya Dozi 358,200 Zaidi Za Chanjo Ya Astrazeneca Kutoka Serikali Ya Canada.


User: EbruTVKENYA

Views: 4

Uploaded: 2021-09-02

Duration: 02:26

Your Page Title