Kaunti Ya Siaya Yaamuru Huduma Za Afya Zisitishwe Kwa Wataokaidi Chanjo Ya Covid-19

Kaunti Ya Siaya Yaamuru Huduma Za Afya Zisitishwe Kwa Wataokaidi Chanjo Ya Covid-19

Kaunti Ya Siaya Ndiyo Kaunti Ya Kwanza Kufanikisha Amri Ya Kutotoa Huduma Kwa Wananchi Amabao Hawajachanjwa Dhidi Ya Virusi Vya Covid-19. Hili Limejiri Masaa Machache Baada Ya Mahakama Kuu Kufutilia Mbali Uamuzi Wa Wizara Ya Afya Ya Kuwa Mkenya Yeyote Ambaye Hajapokea Chanjo Ya Corona Kutopokea Huduma Za Serikali.


User: EbruTVKENYA

Views: 22

Uploaded: 2021-12-15

Duration: 01:45

Your Page Title